Recent Posts

3/recent/post-list
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com AUTHOR:๐”ป๐•€โ„๐”ผโ„‚๐•‹๐•†โ„13 JINSI YA KUPIKA KABABU ZA NYAMA YA KUSAGA ♦️MAHITAJI ๐Ÿ‘‰ Nyama ya kusaga Kilo 1 ๐Ÿ‘‰ Kitunguu saumu na tangawizi iliyosagwa Kijiko 1 cha chai ๐Ÿ‘‰ Pilipili mbichi iliyosagwa kijiko 1 cha chai ๐Ÿ‘‰ Bizari ya Kababu ½ paketi ๐Ÿ‘‰ Chumvi kiasi ๐Ÿ‘‰ Mafuta kiasi ya kukaangia ๐Ÿ‘‰ Mayai 2 ๐Ÿ‘‰ slice za mkate 2 ♦️JINSI YA KUPIKA 1. Weka nyama Yako katika bakuli kubwa 2. loweka slice za mkate katika maji kisha zikamue maji uzivuruge kwa mkono ndani ya nyama hakikisha zinachanganyika na nyama vizuri 3. Changanya nyama pamoja na viungo vyote katika bakuli. 4. Chukuwa mayai yako vunjia katika huo mchanganyiko changanya tena mpaka vichanganyike 5. Fanya madonge shape ya duara kama kwenye picha weka kando. 6. Kisha Kaanga kama sambusa mpaka Zibadilike rangi. 7. Epua zikiwa tayari kwa kuliwa. FINISH ๐•‹๐•Œโ„•๐”ธโ„™๐•†๐•‚๐”ผ๐”ธ ๐•„๐”ธ๐•‹๐”ธโ„•๐”พ๐”ธโ„ค๐•† ๐”น๐”ผ๐•€ โ„•๐•€ 15000 ๐•‹๐•Œ ๐•‚๐•Ž๐”ธ ๐•Ž๐•€๐•‚๐•€ 3 ๐•‹๐”ธ๐•‹๐•Œ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐•€๐•ƒ๐•€๐”ธโ„•๐”ธ โ„•๐”ธ๐•Š๐•€ ๐•‚๐•Ž๐”ธ 0752338972
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com AUTHOR:๐”ป๐•€โ„๐”ผโ„‚๐•‹๐•†โ„13 JINSI YA KUPIKA KABABU ZA NYAMA YA KUSAGA ♦️MAHITAJI ๐Ÿ‘‰ Nyama ya kusaga Kilo 1 ๐Ÿ‘‰ Kitunguu saumu na tangawizi iliyosagwa Kijiko 1 cha chai ๐Ÿ‘‰ Pilipili mbichi iliyosagwa kijiko 1 cha chai ๐Ÿ‘‰ Bizari ya Kababu ½ paketi ๐Ÿ‘‰ Chumvi kiasi ๐Ÿ‘‰ Mafuta kiasi ya kukaangia ๐Ÿ‘‰ Mayai 2 ๐Ÿ‘‰ slice za mkate 2 ♦️JINSI YA KUPIKA 1. Weka nyama Yako katika bakuli kubwa 2. loweka slice za mkate katika maji kisha zikamue maji uzivuruge kwa mkono ndani ya nyama hakikisha zinachanganyika na nyama vizuri 3. Changanya nyama pamoja na viungo vyote katika bakuli. 4. Chukuwa mayai yako vunjia katika huo mchanganyiko changanya tena mpaka vichanganyike 5. Fanya madonge shape ya duara kama kwenye picha weka kando. 6. Kisha Kaanga kama sambusa mpaka Zibadilike rangi. 7. Epua zikiwa tayari kwa kuliwa. FINISH ๐•‹๐•Œโ„•๐”ธโ„™๐•†๐•‚๐”ผ๐”ธ ๐•„๐”ธ๐•‹๐”ธโ„•๐”พ๐”ธโ„ค๐•† ๐”น๐”ผ๐•€ โ„•๐•€ 15000 ๐•‹๐•Œ ๐•‚๐•Ž๐”ธ ๐•Ž๐•€๐•‚๐•€ 3 ๐•‹๐”ธ๐•‹๐•Œ ๐•Ž๐”ธ๐•Š๐•€๐•ƒ๐•€๐”ธโ„•๐”ธ โ„•๐”ธ๐•Š๐•€ ๐•‚๐•Ž๐”ธ 0752338972
๐€๐ˆ๐‘๐“๐„๐‹ 5๐† ๐‘๐Ž๐”๐“๐„๐‘ ๐”๐๐‹๐ˆ๐Œ๐ˆ๐“๐„๐ƒ ๐ˆ๐๐“๐„๐‘๐๐„๐“ ๐–๐ˆ-๐…๐ˆ (๐ˆ๐ ๐๐„๐– ๐•๐ˆ๐’๐ˆ๐Ž๐) 1:NI PORTABLE (MAHALI POPOTE UNAWEZA UKATEMBEA NAYO 2:INA POWER BANK KWAAJILI YAKUTUNZIA CHAJI PINDI UMEME UMEKATIKA 3:INAUWEZO MKUBWA WA KU CONNECT VIFAA64 (SIMU,COMPYUTER) NA BADO IKAWA NAKASI YA HALI YA JUU 4: AIRTEL ROUTER INA UWEZO WAKUSHIKA HADI MITA MIA N.B HAINA KIKOMO MWEZI MZIMA NIWEWE TU ๐Œ๐€๐‹๐ˆ๐๐Ž/๐†๐‡๐€๐‘๐€๐Œ๐€ ๐™๐€ ๐Š๐ˆ๐…๐”๐‘๐”๐’๐‡๐ˆ ● 110,000 ina mbs..... 30 ● 150,000 ina mbs 50 ● 200,000 ina mbs 100 AGIZA NASI ☎️0782657014 ๐Ÿ”ŽLOCATION: DAR-ES-SALAAM .....MBEZI BEACH..
๐€๐ˆ๐‘๐“๐„๐‹ 5๐† ๐‘๐Ž๐”๐“๐„๐‘ ๐”๐๐‹๐ˆ๐Œ๐ˆ๐“๐„๐ƒ ๐ˆ๐๐“๐„๐‘๐๐„๐“ ๐–๐ˆ-๐…๐ˆ (๐ˆ๐ ๐๐„๐– ๐•๐ˆ๐’๐ˆ๐Ž๐) 1:NI PORTABLE (MAHALI POPOTE UNAWEZA UKATEMBEA NAYO 2:INA POWER BANK KWAAJILI YAKUTUNZIA CHAJI PINDI UMEME UMEKATIKA 3:INAUWEZO MKUBWA WA KU CONNECT VIFAA64 (SIMU,COMPYUTER) NA BADO IKAWA NAKASI YA HALI YA JUU 4: AIRTEL ROUTER INA UWEZO WAKUSHIKA HADI MITA MIA N.B HAINA KIKOMO MWEZI MZIMA NIWEWE TU ๐Œ๐€๐‹๐ˆ๐๐Ž/๐†๐‡๐€๐‘๐€๐Œ๐€ ๐™๐€ ๐Š๐ˆ๐…๐”๐‘๐”๐’๐‡๐ˆ ● 110,000 ina mbs..... 30 ● 150,000 ina mbs 50 ● 200,000 ina mbs 100 AGIZA NASI ☎️0782657014 ๐Ÿ”ŽLOCATION: DAR-ES-SALAAM .....MBEZI BEACH..
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com LAMBALAMBA ZA MAZIWA ๐Ÿ›‘๐Ÿ›‘ MAHITAJI..... 1.Sukari kiasi Chako 2.Rangi yoyote 3.Maziwa fresh nusu lita 4.Vanilla ya Maji au unga kifuniko 1 5.Vikopo vya lamba lamba 6.vijiti vya lamba lamba 7:Custard powder kikombe kimoja CHA robo ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰JINSI YA KUANDAA÷ANZA KUCHEMSHA MAZIWA YAKO KWA MOTO MDOGO TU WA KAWAIDA HAKIKISHA YASI SHIKE CHINI ๐ŸงKISHA WEKA UNGA WA CUSTARD KOROGA HADI UWONE MAZIWA YAMEANZA KULETA UZITO YATOE JIKON ๐ŸงKISHA YATIE MAZIWA YAKO KWENYE MAJI YA LITA 5 . ๐ŸงBAADA YA HAPO CHANGANYA SUKARI HADI IWE TAMU KISHA WEKA RANGI YEYOTE RANGI WEKA KIDOGO SANA TIA VANILLA KISHA TAYARISHA VIKOPO.UKISHA MIMINA ๐Ÿง MCHANGANYIKO WAKO KATIKA VIKOPO ANZA KUWEKA VIJITI (PIA UNAWEZA KUTUMIA MAZIWA YA UNGA VIJIKO 3-4 VYA CHAKULA KADRI UNAVYO HITAJI UZITO WA LAMBA LAMBA.
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com LAMBALAMBA ZA MAZIWA ๐Ÿ›‘๐Ÿ›‘ MAHITAJI..... 1.Sukari kiasi Chako 2.Rangi yoyote 3.Maziwa fresh nusu lita 4.Vanilla ya Maji au unga kifuniko 1 5.Vikopo vya lamba lamba 6.vijiti vya lamba lamba 7:Custard powder kikombe kimoja CHA robo ๐Ÿ‘‰๐Ÿ‘‰JINSI YA KUANDAA÷ANZA KUCHEMSHA MAZIWA YAKO KWA MOTO MDOGO TU WA KAWAIDA HAKIKISHA YASI SHIKE CHINI ๐ŸงKISHA WEKA UNGA WA CUSTARD KOROGA HADI UWONE MAZIWA YAMEANZA KULETA UZITO YATOE JIKON ๐ŸงKISHA YATIE MAZIWA YAKO KWENYE MAJI YA LITA 5 . ๐ŸงBAADA YA HAPO CHANGANYA SUKARI HADI IWE TAMU KISHA WEKA RANGI YEYOTE RANGI WEKA KIDOGO SANA TIA VANILLA KISHA TAYARISHA VIKOPO.UKISHA MIMINA ๐Ÿง MCHANGANYIKO WAKO KATIKA VIKOPO ANZA KUWEKA VIJITI (PIA UNAWEZA KUTUMIA MAZIWA YA UNGA VIJIKO 3-4 VYA CHAKULA KADRI UNAVYO HITAJI UZITO WA LAMBA LAMBA.
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com JINSI YA KUTENGENEZA UROJO - Urojo ni mchanganyiko wa vyakula mbali mbali pamoja na uji uji wake katika bakuli moja - Hapa nitaeleza jinsi ya kuupika huo uji(urojo) mpaka kukamilika kwake - Asili ya urojo ni India ila kwa sasa nchi mbali mbali zina andaa upishi huu - Na Zanzibar ni mlo unaopendwa na maarufu sana KWENYE UROJO TUNAWEKA VITU VIFUATAVYO 1- Mbatata za Kuchemsha 2- Mayai Ya Kuchemsha 3.Bagia za dengu 4- Bagia kunde 5- Chatne 6- Chipsi Za Muhogo 7- Mishkaki 8- Kachori 9- Katlesi 10- Na urojo wenyewe Urojo Sauce 11- Pilipili ya kupika 12- Majani ya spinach 13- Majani ya gilgilani JINSI YA KUANDAA UJI WA UROJO MAHITAJI 1- Viazi mviringo/mbatata – kg1 2- Unga wa ngano – 1/2kg 3- Binzari (rangi ya mchuzi) – kijiko kimoja 4- Malimao au ndimu – 4 5- Chumvi kiasi 6- Maji ya kutosha kulingana na mahitaji 7- Mbogamboga 8- Giligilani MANDAALIZI - Safisha viazi mbatata/ mviringo bila kumenya kisha vichemshe - Chemsha hivyo hivyo bila kumenya hakikisha havivurugiki vikiiva ipua na uviweke pembeni - Bandika sufuria lingine la maji huku pembeni ukikoroga unga wa ngano uliochanganywa na maji (uji wa ngano) kwenye bakuli, endelea kukoroga unga wa ngano mpaka uwe mwepesi na usiwe na madonge, kisha weka binzari - Maji ya jikoni yakishachemka, mimina mchanganyiko wako wa ngano na binzari kwenye maji ya moto koroga uji wako hadi ushike vizuri uji ukisha shika vizuri kamulia malimao na punguza moto na uuache uji uendelee kuchemka, wakati uji ukiendelea kuchemka menya vile viazi vyako ulivyo vichemsha mwanzo na uvikate vipande saizi ya kati kisha vimimine (tumbukiza) katika uji uliopo jikoni - Acha mchanganyiko wako uchemke kwa dakika tano kisha ipua urojo wako utakuwa tayari kwa Biashara - Unaweza kuchanganya urojo wako na kachori, bagia, mishikaki, crips za viazi au mihogo iliyo katwa katwa vipande vidogo vidogo - Pia unaweza weka mboga mboga (figiri, majani ya kitunguu majani ya kabichi na tayari kwa kuliwa. enjoy๐Ÿ™ƒ๐Ÿ™ƒ๐Ÿ˜ƒ
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com JINSI YA KUTENGENEZA UROJO - Urojo ni mchanganyiko wa vyakula mbali mbali pamoja na uji uji wake katika bakuli moja - Hapa nitaeleza jinsi ya kuupika huo uji(urojo) mpaka kukamilika kwake - Asili ya urojo ni India ila kwa sasa nchi mbali mbali zina andaa upishi huu - Na Zanzibar ni mlo unaopendwa na maarufu sana KWENYE UROJO TUNAWEKA VITU VIFUATAVYO 1- Mbatata za Kuchemsha 2- Mayai Ya Kuchemsha 3.Bagia za dengu 4- Bagia kunde 5- Chatne 6- Chipsi Za Muhogo 7- Mishkaki 8- Kachori 9- Katlesi 10- Na urojo wenyewe Urojo Sauce 11- Pilipili ya kupika 12- Majani ya spinach 13- Majani ya gilgilani JINSI YA KUANDAA UJI WA UROJO MAHITAJI 1- Viazi mviringo/mbatata – kg1 2- Unga wa ngano – 1/2kg 3- Binzari (rangi ya mchuzi) – kijiko kimoja 4- Malimao au ndimu – 4 5- Chumvi kiasi 6- Maji ya kutosha kulingana na mahitaji 7- Mbogamboga 8- Giligilani MANDAALIZI - Safisha viazi mbatata/ mviringo bila kumenya kisha vichemshe - Chemsha hivyo hivyo bila kumenya hakikisha havivurugiki vikiiva ipua na uviweke pembeni - Bandika sufuria lingine la maji huku pembeni ukikoroga unga wa ngano uliochanganywa na maji (uji wa ngano) kwenye bakuli, endelea kukoroga unga wa ngano mpaka uwe mwepesi na usiwe na madonge, kisha weka binzari - Maji ya jikoni yakishachemka, mimina mchanganyiko wako wa ngano na binzari kwenye maji ya moto koroga uji wako hadi ushike vizuri uji ukisha shika vizuri kamulia malimao na punguza moto na uuache uji uendelee kuchemka, wakati uji ukiendelea kuchemka menya vile viazi vyako ulivyo vichemsha mwanzo na uvikate vipande saizi ya kati kisha vimimine (tumbukiza) katika uji uliopo jikoni - Acha mchanganyiko wako uchemke kwa dakika tano kisha ipua urojo wako utakuwa tayari kwa Biashara - Unaweza kuchanganya urojo wako na kachori, bagia, mishikaki, crips za viazi au mihogo iliyo katwa katwa vipande vidogo vidogo - Pia unaweza weka mboga mboga (figiri, majani ya kitunguu majani ya kabichi na tayari kwa kuliwa. enjoy๐Ÿ™ƒ๐Ÿ™ƒ๐Ÿ˜ƒ
BIRIANI YA KUKU WA KIENYEJI MAHITAJI ๐Ÿ˜š BASMAT RICE RANGI ZA CHAKULA TOMATO PASTE NYAMA YA KUKU NYANYA MAJI MAZIWA MTINDI VITUNGUU MAJI CHUMVI MAFUTA YA KUPIKIA VIAZI MVIRINGO GILIGILANI ZABIBU KAVU Kitunguu saumu na tangawizi Carrot Hoho Binzari ya manjano Binzari nyembamba Namna ya kutayarisha ๐Ÿ–ค Chukua nyama yako ya kuku ioshe ichemshe weka Kitunguu saumu tangawizi ,limao na iache ichemke mpaka iive Baada ya kuiva Chukua nyanya maji katakata weka kwenye blender pamoja na GILIGILANI na maziwa mtindi saga kwa pamoja Chukua Sufuria Weka mafuta ya kutosha Kisha Chukua Vitunguu maji ulivyokata vya kutosha kaanga vikiwa Golden brown vitoe weka kwenye sahani Kwenye mafuta yaleyale kaanga viazi mviringo vyako na vikiwa brown vitoe Chukua Sufuria Weka ile nyama ya kuku na weka ule mchanganyiko wa nyanya na mtindi Vitunguu maji ,mafuta ya kupikia ,Chumvi ,Kitunguu saumu na tangawizi na mafuta kiasi acha vichemkie Vikichemka weka tomato paste, binzari ya manjano na binzari nyembamba changanya Kisha weka Hoho na carrot acha vichemkie Kisha Weka viazi mviringo acha mchuzu uchemke mpka uwe mzito Chukua Sufuria Weka maji kiasi yakichemka weka Chumvi mafuta ya kupikia na mchele wako koroga kidogo kidogo mpka maji yakauke Yakikauka Chukua rangi zako kulingana na rangi unazopenda mwagia kwa juu na utatupia zabibu kavu Kisha palilia wali wako au funika kwa mfuko laini baada ya hapo utageuza na utachanganya na rangi zako uchanganyikane vizuri pakua chakula chako rosti la nyama weka kwa juu na biriani lako lipo tayari kuliwa na pilipili Enjoy ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Jifunze kupika mapishi hapa mapishiclub.Blogspot.Com
BIRIANI YA KUKU WA KIENYEJI MAHITAJI ๐Ÿ˜š BASMAT RICE RANGI ZA CHAKULA TOMATO PASTE NYAMA YA KUKU NYANYA MAJI MAZIWA MTINDI VITUNGUU MAJI CHUMVI MAFUTA YA KUPIKIA VIAZI MVIRINGO GILIGILANI ZABIBU KAVU Kitunguu saumu na tangawizi Carrot Hoho Binzari ya manjano Binzari nyembamba Namna ya kutayarisha ๐Ÿ–ค Chukua nyama yako ya kuku ioshe ichemshe weka Kitunguu saumu tangawizi ,limao na iache ichemke mpaka iive Baada ya kuiva Chukua nyanya maji katakata weka kwenye blender pamoja na GILIGILANI na maziwa mtindi saga kwa pamoja Chukua Sufuria Weka mafuta ya kutosha Kisha Chukua Vitunguu maji ulivyokata vya kutosha kaanga vikiwa Golden brown vitoe weka kwenye sahani Kwenye mafuta yaleyale kaanga viazi mviringo vyako na vikiwa brown vitoe Chukua Sufuria Weka ile nyama ya kuku na weka ule mchanganyiko wa nyanya na mtindi Vitunguu maji ,mafuta ya kupikia ,Chumvi ,Kitunguu saumu na tangawizi na mafuta kiasi acha vichemkie Vikichemka weka tomato paste, binzari ya manjano na binzari nyembamba changanya Kisha weka Hoho na carrot acha vichemkie Kisha Weka viazi mviringo acha mchuzu uchemke mpka uwe mzito Chukua Sufuria Weka maji kiasi yakichemka weka Chumvi mafuta ya kupikia na mchele wako koroga kidogo kidogo mpka maji yakauke Yakikauka Chukua rangi zako kulingana na rangi unazopenda mwagia kwa juu na utatupia zabibu kavu Kisha palilia wali wako au funika kwa mfuko laini baada ya hapo utageuza na utachanganya na rangi zako uchanganyikane vizuri pakua chakula chako rosti la nyama weka kwa juu na biriani lako lipo tayari kuliwa na pilipili Enjoy ๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹๐Ÿ˜‹ Jifunze kupika mapishi hapa mapishiclub.Blogspot.Com
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com MAPISHI YA CHAPATI ZA NYAMA . Vipimo Unga 1 ½ vikombe vya chai Mafuta ¼ kikombe cha chai Chumvi ½ kijiko cha chai Maji 1 kikombe cha chai Mafuta ½ kikombe cha chai Mayai 6 mayai Manda nyembamba za mraba (Spring roll pastries sheet) 6 Nyama ya kusaga ½ kilo Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi 1 kijiko cha supu Kotmiri iliyokatwakatwa ½ kikombe Chumvi kiasi Pilipili manga ½ kijiko cha chai Pilipili mbichi kiasi (ukipenda) Bizari ya pilau ya unga ½ kijiko cha chai. Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Changanya unga na mafuta ¼ kikombe maji na chumvi pamoja kanda mpaka ulainike Kata madonge sita, mimina mafuta ½ kikombe kwenye chombo kipana kisha yaroweke madonge kwa muda wa ½ saa hadi saa 1. Changanya nyama na vitu vyote na ichemshe mpaka iwe kavu kama nyama ya sambusa , wacha ipoe. Sukuma donge ulitandaze liwe jepesi, kisha weka juu yake hiyo manda nyembamba ya mraba . Kwenye bakuli ndogo piga yai moja na vijiko 2 vya hiyo nyama kavu kisha mimina juu ya hiyo manda ya mraba kisha ifunike kama inavyoonyeshwa kwenye picha. Choma kama unavyochoma chapati ila wakati unageuza kutia mafuta toboa toboa na uma ili yai lipate kuiva vizuri ndani kwa moto wa kiasi. Weka kwenye sahani tayari kuliwa.
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com MAPISHI YA CHAPATI ZA NYAMA . Vipimo Unga 1 ½ vikombe vya chai Mafuta ¼ kikombe cha chai Chumvi ½ kijiko cha chai Maji 1 kikombe cha chai Mafuta ½ kikombe cha chai Mayai 6 mayai Manda nyembamba za mraba (Spring roll pastries sheet) 6 Nyama ya kusaga ½ kilo Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi 1 kijiko cha supu Kotmiri iliyokatwakatwa ½ kikombe Chumvi kiasi Pilipili manga ½ kijiko cha chai Pilipili mbichi kiasi (ukipenda) Bizari ya pilau ya unga ½ kijiko cha chai. Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Changanya unga na mafuta ¼ kikombe maji na chumvi pamoja kanda mpaka ulainike Kata madonge sita, mimina mafuta ½ kikombe kwenye chombo kipana kisha yaroweke madonge kwa muda wa ½ saa hadi saa 1. Changanya nyama na vitu vyote na ichemshe mpaka iwe kavu kama nyama ya sambusa , wacha ipoe. Sukuma donge ulitandaze liwe jepesi, kisha weka juu yake hiyo manda nyembamba ya mraba . Kwenye bakuli ndogo piga yai moja na vijiko 2 vya hiyo nyama kavu kisha mimina juu ya hiyo manda ya mraba kisha ifunike kama inavyoonyeshwa kwenye picha. Choma kama unavyochoma chapati ila wakati unageuza kutia mafuta toboa toboa na uma ili yai lipate kuiva vizuri ndani kwa moto wa kiasi. Weka kwenye sahani tayari kuliwa.
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com JINSI YA KUPIKA PILAU LA NYAMA orodha ya viungo Mchele kilo1 ¼ Nyama kilo ½ Mafuta yakupikia lita ¼ Njegere kilo ½ Giligilani pakti ndogo 1 Mdalasini ya unga packti ndogo 2 Jira packti ndogo 2 Chumvi packti ndogo 1 Vitunguu-maji kubwa 3 Vitunguu-saumu kubwa 1 Hatua ya kutayarisha viungo Ukisha andaa vitu vyote hivi tunaanza kuandaa chakula chetu cha Leo Anza kumenya vitunguu saumu Katakata vitunguu maji Chambua girigilan Kata kata nyama Chukua vitunguu swaumu, girigilan, jira viweke kwenye kiuri na utwange vizuri hadi vilainike Hatua na maelekezo ya kupika Chukua sufuria yako bandika jikoni weka mafuta Weka vitunguu maji jikoni Kaanga hadi viwe na ranging ya kahawia Weka nyama anza kuikaanga Endelea kugeuza nyama yako ikaange vizuri hadi iive Chukua mchanganyiko wa vitunguu swaumu, girigilan, jira ulio twanga viweke na endelea kukaanga Chukua mdalasin weka koroga vizuri Weka chumvi geuza Weka njegere zako geuza vizuri ichanganyike Weka maji acha ichemke kwa dakika tano Weka mchele geuza vizuri taraaraatibu Funika na uweka moto mdogo wakuivisha chakula taratibu kwa dakika kumi Funua chakula chako geuza hapo kitakua pilau iliyo tayari kwa kula Hitimisho na Mawasiliano ya Mwandishi Kwa kuhitimisha napenda kusema tu kwamba upishi wa pilau uko wa aina nyingi na hata ndani ya aina moja bado mapishi yanaweza kutofautiana sana na inategemea Zaidi ubunifu wa mpisha kuweza kupindisha pindisha baadhi ya taratibu ili kuweza kupata chakula kizuri, kitamu na kinacho walaji. Mfano tu kwenye pilau ya nyama unaweza weka nyama nyingi, kawaida au chache, unaweza kubadilisha rangi ikawa kahawia au njano nk je una maoni usisite kituandikia jjumbe yako katika ukurasa wetu by Director13
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com JINSI YA KUPIKA PILAU LA NYAMA orodha ya viungo Mchele kilo1 ¼ Nyama kilo ½ Mafuta yakupikia lita ¼ Njegere kilo ½ Giligilani pakti ndogo 1 Mdalasini ya unga packti ndogo 2 Jira packti ndogo 2 Chumvi packti ndogo 1 Vitunguu-maji kubwa 3 Vitunguu-saumu kubwa 1 Hatua ya kutayarisha viungo Ukisha andaa vitu vyote hivi tunaanza kuandaa chakula chetu cha Leo Anza kumenya vitunguu saumu Katakata vitunguu maji Chambua girigilan Kata kata nyama Chukua vitunguu swaumu, girigilan, jira viweke kwenye kiuri na utwange vizuri hadi vilainike Hatua na maelekezo ya kupika Chukua sufuria yako bandika jikoni weka mafuta Weka vitunguu maji jikoni Kaanga hadi viwe na ranging ya kahawia Weka nyama anza kuikaanga Endelea kugeuza nyama yako ikaange vizuri hadi iive Chukua mchanganyiko wa vitunguu swaumu, girigilan, jira ulio twanga viweke na endelea kukaanga Chukua mdalasin weka koroga vizuri Weka chumvi geuza Weka njegere zako geuza vizuri ichanganyike Weka maji acha ichemke kwa dakika tano Weka mchele geuza vizuri taraaraatibu Funika na uweka moto mdogo wakuivisha chakula taratibu kwa dakika kumi Funua chakula chako geuza hapo kitakua pilau iliyo tayari kwa kula Hitimisho na Mawasiliano ya Mwandishi Kwa kuhitimisha napenda kusema tu kwamba upishi wa pilau uko wa aina nyingi na hata ndani ya aina moja bado mapishi yanaweza kutofautiana sana na inategemea Zaidi ubunifu wa mpisha kuweza kupindisha pindisha baadhi ya taratibu ili kuweza kupata chakula kizuri, kitamu na kinacho walaji. Mfano tu kwenye pilau ya nyama unaweza weka nyama nyingi, kawaida au chache, unaweza kubadilisha rangi ikawa kahawia au njano nk je una maoni usisite kituandikia jjumbe yako katika ukurasa wetu by Director13
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com Kupunguza uzito kunaweza kuhusisha mabadiliko kadhaa ya mtindo wa maisha. Hapa kuna mambo machache unayoweza kufanya: 1. **Lishe Bora:** Punguza ulaji wa kalori na uzingatie vyakula vyenye lishe kama matunda, mboga za majani, protini za nyama ya kuku au samaki, na nafaka nzima. 2. **Mazoezi:** Fanya mazoezi mara kwa mara, angalau dakika 30 kila siku. Hii inaweza kuwa kutembea, kukimbia, au mazoezi mengine yanayokufurahisha. 3. **Kunywa Maji:** Kunywa maji ya kutosha kila siku. Maji husaidia katika mmeng'enyo wa chakula na kuzuia kiu ambayo inaweza kuchangia kula zaidi. 4. **Kupunguza Mlo wa Haraka:** Epuka vyakula vyenye sukari nyingi, mafuta mengi, na vyakula vilivyosindikwa. 5. **Lala Vya Kutosha:** Uhakikishe unapata usingizi wa kutosha kila usiku. Kulala vya kutosha kunaweza kusaidia kudhibiti hamu ya kula na kuboresha ustawi wako kwa ujumla.https://www.highcpmgate.com/zx2v4eizi?key=aa435f5c317faedefcc8f4c2186b880f Kumbuka kwamba kila mtu ni tofauti, na mchakato wa kupunguza uzito unaweza kuhitaji uvumilivu na muda. Ni vizuri kushauriana na daktari au mtaalamu wa lishe kabla ya kuanza mpango wowote wa kupunguza uzito ili kuhakikisha unafuata njia inayofaa kwako.
Welcome mapishiclub.Blogspot.Com Kupunguza uzito kunaweza kuhusisha mabadiliko kadhaa ya mtindo wa maisha. Hapa kuna mambo machache unayoweza kufanya: 1. **Lishe Bora:** Punguza ulaji wa kalori na uzingatie vyakula vyenye lishe kama matunda, mboga za majani, protini za nyama ya kuku au samaki, na nafaka nzima. 2. **Mazoezi:** Fanya mazoezi mara kwa mara, angalau dakika 30 kila siku. Hii inaweza kuwa kutembea, kukimbia, au mazoezi mengine yanayokufurahisha. 3. **Kunywa Maji:** Kunywa maji ya kutosha kila siku. Maji husaidia katika mmeng'enyo wa chakula na kuzuia kiu ambayo inaweza kuchangia kula zaidi. 4. **Kupunguza Mlo wa Haraka:** Epuka vyakula vyenye sukari nyingi, mafuta mengi, na vyakula vilivyosindikwa. 5. **Lala Vya Kutosha:** Uhakikishe unapata usingizi wa kutosha kila usiku. Kulala vya kutosha kunaweza kusaidia kudhibiti hamu ya kula na kuboresha ustawi wako kwa ujumla.https://www.highcpmgate.com/zx2v4eizi?key=aa435f5c317faedefcc8f4c2186b880f Kumbuka kwamba kila mtu ni tofauti, na mchakato wa kupunguza uzito unaweza kuhitaji uvumilivu na muda. Ni vizuri kushauriana na daktari au mtaalamu wa lishe kabla ya kuanza mpango wowote wa kupunguza uzito ili kuhakikisha unafuata njia inayofaa kwako.
KATLESI / katles mahitaji -viazi mbatata - ½ -Nyama ya kusaga robo -Mayai 3 -Vitunguu maji Vikubwa 2 -pilipili hoho 1 -karoti 1 -Ndimu / limau -Pilipili manga - kijiko cha chai ½ -Tangawizi mbichi -Kitunguu thomu -Bizari ya mchuzi kijiko cha chai 1 -chumvi kiasi -Chenga za mkate (Bread crumbs) Weka katika sahani -kikombe 1cha mafuta ya kupikia namna ya kupika: -Menya viazi vikate na uchemshe vikiwa vinakaribia kuiva weka binzari ya manjano, ndimu na chumvi, vitunguu maji, hoho na karoti(iliyokwanguliwa) kisha utaviponda kwa pamoja mpka viwe kama ugali. -Chemsha Nyama kwa tangawizi na kitunguu thomu, pilipilimanga mpaka ikauke. - Sasa changanya vizuri na viazi ulivyoviponda ponda na nyama uliyoitia viungo, changanya vizuri mpaka viazi vichanganyike vizuri na nyama. -Sasa fanya madonge na uviringe kama shepu ya yai au duara kawaida. -Sasa vunja yale mayai kisha uyakoroge kwenye kibakuli pembeni, baada ya chukua vile viazi vyenye shepu ya duara uvigaragaze kwenye chenga za mkate, vyote viwe vimepakwa chenga za mkate; kisha utachovya kwenye ute wa yai na kuzichoma kwenye mafuta mpaka ziwe na rangi ya dhahabu. baada ya hapo tayari kuliwa. NB:- unaweza kutumia nyama ya kuku, au samaki bila kusahau kutoa miba. -kama hauna chenga za mkate unaweza kutumia unga wa ngano uliochanganywa na sembe kidogo. -Epuka kugeuza geuza ili zisije zikavurugika kwenye mafuta, na mafuta yawe yamepata moto kiasi kwani zikikaa sana jikoni pia zinaweza kuvurugika.
KATLESI / katles mahitaji -viazi mbatata - ½ -Nyama ya kusaga robo -Mayai 3 -Vitunguu maji Vikubwa 2 -pilipili hoho 1 -karoti 1 -Ndimu / limau -Pilipili manga - kijiko cha chai ½ -Tangawizi mbichi -Kitunguu thomu -Bizari ya mchuzi kijiko cha chai 1 -chumvi kiasi -Chenga za mkate (Bread crumbs) Weka katika sahani -kikombe 1cha mafuta ya kupikia namna ya kupika: -Menya viazi vikate na uchemshe vikiwa vinakaribia kuiva weka binzari ya manjano, ndimu na chumvi, vitunguu maji, hoho na karoti(iliyokwanguliwa) kisha utaviponda kwa pamoja mpka viwe kama ugali. -Chemsha Nyama kwa tangawizi na kitunguu thomu, pilipilimanga mpaka ikauke. - Sasa changanya vizuri na viazi ulivyoviponda ponda na nyama uliyoitia viungo, changanya vizuri mpaka viazi vichanganyike vizuri na nyama. -Sasa fanya madonge na uviringe kama shepu ya yai au duara kawaida. -Sasa vunja yale mayai kisha uyakoroge kwenye kibakuli pembeni, baada ya chukua vile viazi vyenye shepu ya duara uvigaragaze kwenye chenga za mkate, vyote viwe vimepakwa chenga za mkate; kisha utachovya kwenye ute wa yai na kuzichoma kwenye mafuta mpaka ziwe na rangi ya dhahabu. baada ya hapo tayari kuliwa. NB:- unaweza kutumia nyama ya kuku, au samaki bila kusahau kutoa miba. -kama hauna chenga za mkate unaweza kutumia unga wa ngano uliochanganywa na sembe kidogo. -Epuka kugeuza geuza ili zisije zikavurugika kwenye mafuta, na mafuta yawe yamepata moto kiasi kwani zikikaa sana jikoni pia zinaweza kuvurugika.
BISKUTI ZA SIAGI Maandalizi; dakika 15 Muda wa kupika; dakika 15 Muda jumla; dakika 30 MAHITAJI ➖Kikombe 1 siagi 1/2 kikombe icing sugar ➖Kijiko 1 cha chai vanilla extract ➖Vikombe 2 unga wa ngano 1/4 kijiko cha chai chumvi MAELEZO ⭕Anza kwa kuwasha oven joto la 175 degrees C ili ipate joto wakati unachanganya unga. Kwenye bakuli kubwa changanya siagi, icing sugar na chumvi mpaka mchanganyiko ulainike vizuri. (unaweza kutumia mashine au bila mashine. Ni rahisi zaidi ukitumia mashine). Ongeza vanilla, changanya kwa dakika kama moja nyingine ⭕Ongeza unga wa ngano. Kanda mpaka uchanganyike vizuri kabisa ⭕Gawanya mchanganyiko wa unga kwa kipimo cha kijiko 1 cha chakula, tengeneza mduara kama vimpira. Panga vizuri kwenye chombo cha kuokea ukitumia karatasi za kuokea. ⭕Hakikisha umeacha nafasi ya kutosha katikati ya kila biskuti. ⭕Kandamiza kila donge la biskuti kwa kutumia cookies stamp, uma, glasi ya maji au kifaa chochote utakachotumia kutengeneza umbo unalotaka ⭕Hakikisha unachovya kifaa cha kutengenezea umbo la biskuti kwenye icing sugar ili kusaidia unga usinate kwenye kifaa na pia umbo litokee vizuri zaidi ⭕Oka kwenye oven iliyopata moto katika joto ya 175 degrees kwa dakika 12-15 au mpaka zianze kupata rangi ya kahawia chini. ⭕ Usishangae zikiwa laini sana wakati unazitoa kwenye oven, ni kawaida zikipoa zinakuwa kawaida ⭕Ipua, acha zipoe kwa dakika 5 kabla ya kuhamishia kwenye waya wa kupozea zipoe kabisa. Kwa mapishi zaidi ya cookies na biscuits, jipatie kitabu
BISKUTI ZA SIAGI Maandalizi; dakika 15 Muda wa kupika; dakika 15 Muda jumla; dakika 30 MAHITAJI ➖Kikombe 1 siagi 1/2 kikombe icing sugar ➖Kijiko 1 cha chai vanilla extract ➖Vikombe 2 unga wa ngano 1/4 kijiko cha chai chumvi MAELEZO ⭕Anza kwa kuwasha oven joto la 175 degrees C ili ipate joto wakati unachanganya unga. Kwenye bakuli kubwa changanya siagi, icing sugar na chumvi mpaka mchanganyiko ulainike vizuri. (unaweza kutumia mashine au bila mashine. Ni rahisi zaidi ukitumia mashine). Ongeza vanilla, changanya kwa dakika kama moja nyingine ⭕Ongeza unga wa ngano. Kanda mpaka uchanganyike vizuri kabisa ⭕Gawanya mchanganyiko wa unga kwa kipimo cha kijiko 1 cha chakula, tengeneza mduara kama vimpira. Panga vizuri kwenye chombo cha kuokea ukitumia karatasi za kuokea. ⭕Hakikisha umeacha nafasi ya kutosha katikati ya kila biskuti. ⭕Kandamiza kila donge la biskuti kwa kutumia cookies stamp, uma, glasi ya maji au kifaa chochote utakachotumia kutengeneza umbo unalotaka ⭕Hakikisha unachovya kifaa cha kutengenezea umbo la biskuti kwenye icing sugar ili kusaidia unga usinate kwenye kifaa na pia umbo litokee vizuri zaidi ⭕Oka kwenye oven iliyopata moto katika joto ya 175 degrees kwa dakika 12-15 au mpaka zianze kupata rangi ya kahawia chini. ⭕ Usishangae zikiwa laini sana wakati unazitoa kwenye oven, ni kawaida zikipoa zinakuwa kawaida ⭕Ipua, acha zipoe kwa dakika 5 kabla ya kuhamishia kwenye waya wa kupozea zipoe kabisa. Kwa mapishi zaidi ya cookies na biscuits, jipatie kitabu