Recent Posts

3/recent/post-list
Showing posts with label MAPISHI. Show all posts
Showing posts with label MAPISHI. Show all posts

๐™…๐™ž๐™›๐™ช๐™ฃ๐™ฏ๐™š ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™œ๐™š๐™ฃ๐™š๐™ฏ๐™– ๐™ ๐™–๐™ฉ๐™ก๐™š๐™จ๐™ž

KATLESI / katles mahitaji -viazi mbatata - ยฝ -Nyama ya kusaga robo -Mayai 3 -Vitunguu maji Vikubwa 2 -pilipili hoho 1 -karoti 1 -Ndimu / limau -Pilipili manga - kijiko cha chai ยฝ -Tangawizi mbichi -Kitunguu thomu -Bizari ya mchuzi kijiko cha chai 1 -chumvi kiasi -Chenga za mkate (Bread crumbs) Weka katika sahani -kikombe 1cha mafuta ya kupikia namna ya kupika: -Menya viazi vikate na uchemshe vikiwa vinakaribia kuiva weka binzari ya manjano, ndimu na chumvi, vitunguu maji, hoho na karoti(iliyokwanguliwa) kisha utaviponda kwa pamoja mpka viwe kama ugali. -Chemsha Nyama kwa tangawizi na kitunguu thomu, pilipilimanga mpaka ikauke. - Sasa changanya vizuri na viazi ulivyoviponda ponda na nyama uliyoitia viungo, changanya vizuri mpaka viazi vichanganyike vizuri na nyama. -Sasa fanya madonge na uviringe kama shepu ya yai au duara kawaida. -Sasa vunja yale mayai kisha uyakoroge kwenye kibakuli pembeni, baada ya chukua vile viazi vyenye shepu ya duara uvigaragaze kwenye chenga za mkate, vyote viwe vimepakwa chenga za mkate; kisha utachovya kwenye ute wa yai na kuzichoma kwenye mafuta mpaka ziwe na rangi ya dhahabu. baada ya hapo tayari kuliwa. NB:- unaweza kutumia nyama ya kuku, au samaki bila kusahau kutoa miba. -kama hauna chenga za mkate unaweza kutumia unga wa ngano uliochanganywa na sembe kidogo. -Epuka kugeuza geuza ili zisije zikavurugika kwenye mafuta, na mafuta yawe yamepata moto kiasi kwani zikikaa sana jikoni pia zinaweza kuvurugika.

๐™Ÿ๐™ž๐™›๐™ช๐™ฃ๐™ฏ๐™š ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™š๐™ฃ๐™œ๐™š๐™ฃ๐™š๐™ฏ๐™– ๐™—๐™ž๐™จ๐™ ๐™ช๐™ฉ๐™ž๐™ž ๐™ฏ๐™– ๐™จ๐™ž๐™–๐™œ๐™ž

BISKUTI ZA SIAGI Maandalizi; dakika 15 Muda wa kupika; dakika 15 Muda jumla; dakika 30 MAHITAJI โž–Kikombe 1 siagi 1/2 kikombe icing sugar โž–Kijiko 1 cha chai vanilla extract โž–Vikombe 2 unga wa ngano 1/4 kijiko cha chai chumvi MAELEZO โญ•Anza kwa kuwasha oven joto la 175 degrees C ili ipate joto wakati unachanganya unga. Kwenye bakuli kubwa changanya siagi, icing sugar na chumvi mpaka mchanganyiko ulainike vizuri. (unaweza kutumia mashine au bila mashine. Ni rahisi zaidi ukitumia mashine). Ongeza vanilla, changanya kwa dakika kama moja nyingine โญ•Ongeza unga wa ngano. Kanda mpaka uchanganyike vizuri kabisa โญ•Gawanya mchanganyiko wa unga kwa kipimo cha kijiko 1 cha chakula, tengeneza mduara kama vimpira. Panga vizuri kwenye chombo cha kuokea ukitumia karatasi za kuokea. โญ•Hakikisha umeacha nafasi ya kutosha katikati ya kila biskuti. โญ•Kandamiza kila donge la biskuti kwa kutumia cookies stamp, uma, glasi ya maji au kifaa chochote utakachotumia kutengeneza umbo unalotaka โญ•Hakikisha unachovya kifaa cha kutengenezea umbo la biskuti kwenye icing sugar ili kusaidia unga usinate kwenye kifaa na pia umbo litokee vizuri zaidi โญ•Oka kwenye oven iliyopata moto katika joto ya 175 degrees kwa dakika 12-15 au mpaka zianze kupata rangi ya kahawia chini. โญ• Usishangae zikiwa laini sana wakati unazitoa kwenye oven, ni kawaida zikipoa zinakuwa kawaida โญ•Ipua, acha zipoe kwa dakika 5 kabla ya kuhamishia kwenye waya wa kupozea zipoe kabisa. Kwa mapishi zaidi ya cookies na biscuits, jipatie kitabu

๐™ˆ๐™ ๐™–๐™ฉ๐™š ๐™ฌ๐™– ๐™ข๐™–๐™ฎ๐™–๐™ž

MKATE WA MAYAI ( SPONGE CAKE ) *MAHITAJI* ๏ฟผ Mayai sita ๏ฟผ Sukari nusu kikombe ๏ฟผunga kikombe kimoja ๏ฟผhiliki ๏ฟผ vanilla(si lazima) ๏ฟผzabibu kavu(si lazima) baking powder kijiko cha chai 1 *MATAYARISHO* ๏ฟผTayarisha sufuria ya kiasi na uipake mafuta. ๏ฟผWeka mayai, sukari na iliki kwenye bakuli uanze kupiga Kwa mashini(mixer) au mchapio mpaka mayai yafure yaani yazidi yawe mara mbili yake. ๏ฟผAnza kuweka unga kidogo kidogo huku ukikoroga taratibu kisha ufuatie na vanilla. ๏ฟผWeka mchanganyiko wote kwenye sufuria. ๏ฟผTupia tupia zabibu juu ya mchanganyiko. ๏ฟผBake mkate wako Kwa moto wa juu na chini kwenye jiko la makaa( hakikisha moto kwenye jiko ni kidogo sana alafu ukifinika ueke makaa ya kutosha juu ya utakachofunikia sufuria, mfuniko ๏ฟผ unaweza ukabake kwa oven kwa Moto wa 250ยฐC takriban nusu saa(itategemea na aina ya oven) ๏ฟผbofya mkate wako Kwa kijiti. Kijiti kikitoka kikavu mkate upo tayari. NB: zingatia: *mkate wa mayai hautiwi siagi, blueband, butter wala mafuta. Ni ngano tu na mayai *kipimo kizuri cha mkate cha mayai ni ujazo wa ngano na ujazo wa mayai uwe sawa sawa, yaani kwa mfano unga glass moja basi na mayai yafikie ujazo huo huo wa glass moja. *wakati wa kupiga mayai inatakiwa usiache ache mkono, upige au kukoroga mpaka yafanye povu; itafanya mkate uvimbe vizuri. *mkate huu uko soft na mlaini kuliko keki ndio maana ukaitwa sponge cake.

๐™˜๐™๐™–๐™ฅ๐™–๐™ฉ๐™ž ๐™ฏ๐™– ๐™ฃ๐™ฎ๐™–๐™ข๐™–

MAPISHI YA CHAPATI ZA NYAMA . Vipimo Unga 1 ยฝ vikombe vya chai Mafuta ยผ kikombe cha chai Chumvi ยฝ kijiko cha chai Maji 1 kikombe cha chai Mafuta ยฝ kikombe cha chai Mayai 6 mayai Manda nyembamba za mraba (Spring roll pastries sheet) 6 Nyama ya kusaga ยฝ kilo Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi 1 kijiko cha supu Kotmiri iliyokatwakatwa ยฝ kikombe Chumvi kiasi Pilipili manga ยฝ kijiko cha chai Pilipili mbichi kiasi (ukipenda) Bizari ya pilau ya unga ยฝ kijiko cha chai. Namna Ya Kutayarisha Na Kupika Changanya unga na mafuta ยผ kikombe maji na chumvi pamoja kanda mpaka ulainike Kata madonge sita, mimina mafuta ยฝ kikombe kwenye chombo kipana kisha yaroweke madonge kwa muda wa ยฝ saa hadi saa 1. Changanya nyama na vitu vyote na ichemshe mpaka iwe kavu kama nyama ya sambusa , wacha ipoe. Sukuma donge ulitandaze liwe jepesi, kisha weka juu yake hiyo manda nyembamba ya mraba . Kwenye bakuli ndogo piga yai moja na vijiko 2 vya hiyo nyama kavu kisha mimina juu ya hiyo manda ya mraba kisha ifunike kama inavyoonyeshwa kwenye picha. Choma kama unavyochoma chapati ila wakati unageuza kutia mafuta toboa toboa na uma ili yai lipate kuiva vizuri ndani kwa moto wa kiasi. Weka kwenye sahani tayari kuliwa.

Biriani lenye mvuto na lenye ladha

๐Ÿ“Œ BIRIANI MAHITAJI โ–ชNyama - kilo moja na nusu โ–ชMchele kilo moja wa basmat โ–ชChumvi - kiasi โ–ชMafuta - 1 Kikombe โ–ชSamli - ยฝ Kikombe โ–ชKitunguu(Kata virefu virefu) - 3Vikubwa โ–ชNyanya (kata vipande) - 2 โ–ชNyanya kopo - 1 Kijiko cha chakula โ–ชKitunguu saumu 1 Kijiko cha chakula โ–ชTangawazi - 1 Kijiko cha chakula โ–ชPilipili mbichi iliyosagwa - 1 Kijiko cha chai โ–ชPilipili ya unga nyekundu - ยฝ Kijiko cha chai โ–ชMajani ya kotmiri iliyokatwa - 2 Vijiko vya chakula โ–ชViazi 10 โ–ชGram masala - 1 Kijiko cha chai โ–ชMtindi - robo Kikombe cha chai JINSI YA KUPIKA 1. Kwenya karai au (sufuria) mimina mafuta na samli. Yakishapata moto mimina vitunguu vikaange mpaka viwe rangi ya hudhurungi. Vitowe viweke pembeni. 2. Kaanga viazi na viweke pembeni. 3. Chukua sufuria tia nyama, thomu, tangawizi, pilipili, nyanya, nyanya ya kopo, mtindi, na pilipili ya unga. Chemsha mpaka iive. 4. Tia vile vitunguu ulioyovikaanga, tia viazi, gram masala, kotmiri na yale mafuta uliokaangia vitunguu kama robo kikombe, acha moto mdogo mdogo kama robo saa, epua weka pembeni. VPIMO VYA WALI WA BIRIANI. โ–ชMchele - Vikombe 5 vikubwa (Kikombe cha chai) โ–ชHiliki nzima - 4 โ–ชMdalasini mzima - 1 โ–ชRangi ya biriani - robo Kijiko cha(yoyote upendayo) โ–ชMafuta yaliyokaangiwa vitunguu - nusu Kikombe โ–ชChumvi - kiasi NAMNA YA KUTAYARISHA WALI WA BIRIANI 1.Osha mchele uroweke kwenye maji muda wa dakika 20. 2. Chemsha maji kwenye sufuria Vikombe 10 3. Tia hiliki na mdalasini kwenye maji. Yakishachemka unatia mchele,chemsha usiive sana, unamwaga maji. Unamimina tena ule mchele nusu kwenye sufuria, unatia rangi kidogo, halafu unamimina mchele uliyobakia unatia rangi iliyobakia. Kisha chukua mafuta unamimina juu ya mchele, unarudisha jikono unaweka moto mdogo ukisha kuiva, tayari kupakuliwa. byee

๐™ƒ๐™–๐™ก๐™› ๐™˜๐™–๐™ ๐™š ๐™ข๐™–๐™ฅ๐™ž๐™จ๐™๐™ž ๐™ฎ๐™–๐™ ๐™š

Half cake Mahitaji Unga wa ngano kikombe 1na1/2 (kama robo hivi) Sukari 1/4 kikombe Baking powder 1/2 kijiko cha chai Magadi soda (bicarbonate soda/baking soda) 1 kijiko cha chai Mafuta 2 vijiko vya chai Mafuta ya kukaangia Maji ya uvuguvugu kiasi Matayarisho Changanya unga na vitu vyote (kasoro mafuta ya kuchomea) kisha ukande (hakikisha unakuwa mgumu) Baada ya hapo sukuma na ukate shape uipendayo (hakikisha unakata vipande vinene kiasi na sio kama mandazi) Baada ya hapo ziweke sehemu yenye joto na uache ziumuke. Zikisha umuka zikaange katika moto mdogo ili ziive mpaka ndani. Zikisha iva zitoe na uziweke katika kitchen towel ili zichuje mafuta. Ziache zipoe na hapo zitakuwa tayari kwa kuliwa. dondoo muhimu:-๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ Jinsi ya kupika half keki zilizo pasuka na kuiva vizuri. 1.Hakikisha unatumia vipimo sahihi bila kusahau bicarbonate of soda(baking soda) hiki ndicho kiungo muhimu ktk half cake na baking powder...(hamira SI lazima kuweka kwa half cake za kula tu...labda ziwe za biashara) 2.Unga wako unapokanda uwe mgumu hata kidole kishindwe kupenya kwenye unga Hauhitaji kuikanda sana kama maandazi ukishashikana tu inatosha. 3.Weka half keki zako kwenye mafuta kabla hayajapata moto. 4.Poza mafuta yako kila baada ya mpiko mmoja.(unaeza kuepua ili yapoe chini...au ukaongeza mafuta ya baridi jikoni )

Karanga za mayai

create by Director13 JINSI YA KUPIKA KARANGA ZA MAYAI Mahitaji Ya Kupika Karanga Za Mayai 1. Karanga kilo moja. 2. Mayai 2 3. Chumvi kijiko kimoja. 4. Sukari kiasi unachohitaji. 5. Unga wa ngano robo kilo 6. Mafuta ya kupikia. Jinsi Ya Kupika Karanga 1. Chukua karanga weka katika sinia,chambua kuondoa karanga mbovu,na taka taka. 2. Baada ya kuchambua weka katika bakuli au chombo cha kukandia,piga mayai katika chombo pembeni na uweke chumvi. Tia mayai katika karanga na kisha zichanganye kuhakikisha zote zimekolea mayai. 3. Chukua kiasi cha sukari unachokadiria kitakufaa.Tia katika ule mchanganyiko wa karanga,mayai na chumvi kisha 4. Changanya ili sukari inate katika karanga zote. 5. Chukua unga tia katika mchanganyiko wako, changanya vizuri kuhakikisha karanga zote zimekuwa nyeupe kwakufunikwa na unga. 6. Weka mafuta kiasi kwenye kikaango, yakichemka anza kukaanga karanga zako hakikisha unazitoa kabla hazijawa brown sana usijeunguza karanga zako. #MTAG RAFIKI YAKO AJE AJIFUNZE MAPISHI Usisahu kuLIKE na KuComment ๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’โค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅโค๏ธโ€๐Ÿ”ฅ Director13 created

Keki za maharusi jinsi ya kutengeneza

Kuna aina mbalimbali za mapishi ya keki, hapa ni mfano wa mapishi ya keki ya vanilla: Viungo: - 2 1/2 vikombe vya unga wa ngano - 2 vijiko vya chai vya unga wa kuoka - Nusu kikombe cha siagi iliyoyeyuka - 1 kikombe cha sukari - 2 mayai - 1 kikombe cha maziwa - 1 kijiko cha chai cha vanilla extract Jinsi ya kuandaa: 1. Kwanza, preheat oven yako hadi nyuzi Welcome mapishiclub.Blogspot.Com

Maana ya mchele wa Basmati

welcome leo nimekuchambulia maana ya basmati Basmati ni aina ya mchele ambayo ina unyevunyevu kidogo na ina harufu nzuri ya kipekee. Mapishi mengi yanatumia mchele wa basmati kutokana na ladha yake ya kipekee. Hapa kuna mapishi machache ya mchele wa basmati: 1. Pilau ya mboga: Kwa pilau ya mboga, unaweza kutumia mchele wa basmati kwa sababu ya ladha yake nzuri. Unaweza kuongeza mboga kama vile karoti, njegere, na pilipili ili kuongezaWelcome mapishiclub.Blogspot.Com

Makande ya chukuchuku

Wapenzi wa Mapishiclub.Blogspot.Com leo nawaletea pushing la makande chukuchuku ambayo Yana mvuto๐Ÿ‘„ Ungana Nami Director13 Mahitaji๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ 1:Nyanya mbili 2:kitunguu Kimora 3:hoho/karoti [moja] 4 :mafuta 5:Chumvi Unaaviandaa viungo vyako kwa kuviosha na kuvika takata kama kawaida nyanya weka ๐Ÿ… tofauti kabisa then una ka๐™–๐™ฃ๐™œ๐™– ๐™ซ๐™ž๐™ฉ๐™ช๐™ฃ๐™œ๐™ช๐™ช ๐™ข๐™ฅ๐™–๐™ ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™–๐™ ๐™ž๐™ ๐™ž๐™จ๐™๐™– ๐™ซ๐™ž๐™ข๐™š ๐™ช๐™ฃ๐™™๐™– ๐™ง๐™–๐™ฃ๐™œ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™—๐™ง๐™ค๐™ฌ unaweka hoho na karoti visiive sana unaacha kidogo alafu una weka nyanya unakaangaa nyanya mpaka ziwe lain uku ukiongeza maji kidogo kidogo zikisha iva una weka katika makande yako uliokwisha andaa mapema utaacha kidogo yazidi ku chemka kama dakika 15 kisha una epua tayari kwa kulana imani makande ya chukuchuku umeyatamani yalivyo na test(ladha) kwa herii tukutanekwenye somo jingine asante mwandishi: director kessy ni follower istagram Welcome mapishiclub.Blogspot.Com

Mango salad

Leo nimewaletea pushing la mango salad Mango Salad ___________________________ Ingredients: โ–ซ๏ธMangoes โ–ซ๏ธTomatoes โ–ซ๏ธRed Onion โ–ซ๏ธFresh Basil โ–ซ๏ธLemon Juice โ–ซ๏ธOlive Oil โ–ซ๏ธChilli โ–ซ๏ธBlack Pepper โ–ซ๏ธSalt Enjoy!

Maandazi ya kuumuka vizuri

mimi Kijani

Jinsi ya kupika ="Colour:blue"> "vanilla(ukipenda)ni nzuri kwa kuweka ladha 7:Baking powder HATUA ZA KUFUATA kijani"GOogle>

Shampoo za nywele za kisasa

.Welcome mapishiclub.Blogspot.Com Habari ni wadau wa mapishiclub naimani ni wazima nyote leo nitafundisha jinsi ya kutengeneza shampoo OR " 1:MAJI LITA 10 2GRISELINE VIJIKO 5 VYA CHAKULA 3:SILESS VIJIKO 1.5 (NUSU) 3:FORMAINE VIJIKO 4 VYA CHAI 4:CHUMVI 1.4 YANI ROBO 5 SODASH VIJIKO 2 VYA CHAKULA 6:SULPHON ASID VIJIKO 4 VYA CHAKULA 7:rangi(hapa utachagua wewe unavyopenda kama rangi ya kijani ama orange ama red ni wewe Mimina maji ya lita 10 katika beseni uliloandaa kwa usafi kisha changanya "{Malighafi}"Zote katika maji Kisha ongeza chumvi kufanya shampoo yako iwe nzito kisha koroga maji ya sabuni pembeni kwa dakika 15 changanya katika beseni changanya koroga Perfume vijiko 3 vya chakula Hakikisha

Kutengeneza Sabuni za vyombo za maji

< Maligafi 1:maji l0 2:sulporic acid 1,5 Nusu 3:siless vijiko 5 4:formalinge vijiko 5 5:chumvi robo ilikuongeza uzito wa sabuni 6:sodash vijiko 4 vya chakula 7:Rangi kijiko 1 chakula 8:Perfume vijiko 2 Vya chakula 9:maji lita 10 #changanya vyote kwenye maji ya lita 10 "koroga dakika 20-30 na uhakikishe hakuna Weupe wa mabonge ndani ya dawa N.B

Ubuyu wa zanzibar jinsi ya kutengeneza

i Twende sambamba katika kutengeneza ubuyu wa zanzibar / Mwisho tafadhali toa comment MApishi.Blogspot.Com

Viazi mbatata oven

" " 1:"VIAZI MVIRINGO 2: 3:currypowder 4: 5:VItunguu swaumu 6:pilipili 7: Osha maitaji yako kisha chukua sinia pana ama trey nichaguo lako Anza nakuweka viazi vyako kulivyo kata kwa mviringo/round na utie kwa kuzunguka
Toa maoni tafadhali kama tupo pamoja Written director kessy Mapishiclub.Blogspot.Com Facebook:zuchu median

Icream za maziwa

ICEREAM KITAALAMU "<=/Maitaji>/ 1:maziya unga kikombe kimoja Or " 2:sukari 1.5 nusu kikombe 3:cornflour vijiko 3 4:vaniLLa Ladha or stowberry weka nusu ndoo ndogo maji kisha Mwisho Usisite kupitia website hii

Mseto wa kunde

"au"Maandalizi 1:nyanya ya pacti1 or nyanya kawaida 2 2:binzari nyembamba 3:paprika 4:"mchele wa basmati" 5:"" 6:curry powder 7:nazi /au ya pacti Ukishakuwa na vitu ivyo unaviweka viungo vyako vyote una vikoroga mPaka vinaiva kisha "unaweka kunde zako humo then unakoroga mara mbili {}"unaweKa nazi/tui la nazi au ya pacti2 so mbaya ""=

Compyuter notes

Karibu katika Mada:1 Mwandishi:director Kessy Introduction of compyuter: Compyuter:is an eletonic device that receive data and its in put process by doing some kind of manipulation store data and produce the deceive result at outfit OR IS an eletronic device that use program to perform mathematical calculator and logical operation 1:DATA Is an unprocessed information example:orange, frank And apple .Etc What do above data mean? : They appear to be fast a random set of number word and letter because they have no content Data doesnot have any meaning unit procced and given a context 1:Perform effective and succeful operation of management 2:<"it provide a view of pOst Activity related to the rise> 3:it enable the user to make better decesion for faster <"Form of data> Data come in many form these can be alphanumeric (text'number and symbolic)image and sound <"Define Information>: Is the organized or processed data OR IS THE DATA HAS BEEN PROCESSED EG:MAKONGO SECONDARY PLAYING FOOTBAL 2:JUMA IS PLAYING FOTBALL AZAM 3:7/7/2024 IS data Present sabasaba day is information 4: traffic light is information <"IMPORTANCE>OFINFORMATION> 1:IT HELP IN COMMUNICATION 2:USED IN GENERETATING REPORT ,GRAPH AND STATICS 3:GIVES POWER TO CHOOSE THE BEST ACTION 4:IT HELP PEOPLE TO DECEIDE WHAT TO DO 5: PROVIDE AVIEW OF PAST ACTIVITIES IN ORGANIZATION A INDIVIDUAL INFORMATIOM 1:INFORMATION ARE INTERPRECTED FACT 2:INFORMATIO ARE USEFULL AND VALUABLE 3:INFORMATION BASED ON RESEARCH 4:INFORMATION ARE MEANING 5:INFORMATION GIVES MEANING THESE NUMBER AND FIGURE SOURCE OF INFORMATION Source of informotion can be categorized into two group they are 1:primary source This is the information allow the learness to acces orgnal and unedited Eg:personal interview meeting,debate,comunity survey ,email contect event 2:secondary source This is information are edited Eg:magazine,newspapers,video tape,cd room