.Welcome mapishiclub.Blogspot.Com
Habari ni wadau wa mapishiclub naimani ni wazima nyote leo nitafundisha jinsi ya kutengeneza shampoo
OR "
1:MAJI LITA 10
2GRISELINE VIJIKO 5 VYA CHAKULA
3:SILESS VIJIKO 1.5 (NUSU)
3:FORMAINE VIJIKO 4 VYA CHAI
4:CHUMVI 1.4 YANI ROBO
5 SODASH VIJIKO 2 VYA CHAKULA
6:SULPHON ASID VIJIKO 4 VYA CHAKULA
7:rangi(hapa utachagua wewe unavyopenda kama rangi ya kijani ama orange ama red ni wewe
Mimina maji ya lita 10 katika beseni uliloandaa kwa usafi kisha changanya
"{Malighafi}"Zote katika maji
Kisha ongeza chumvi kufanya shampoo yako iwe nzito kisha koroga maji ya sabuni pembeni kwa dakika 15 changanya katika beseni changanya koroga
Perfume vijiko 3 vya chakula
Hakikisha
0 Comments
Welcome to comment