Recent Posts

3/recent/post-list

Makande ya chukuchuku

Wapenzi wa Mapishiclub.Blogspot.Com leo nawaletea pushing la makande chukuchuku ambayo Yana mvuto๐Ÿ‘„ Ungana Nami Director13 Mahitaji๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ 1:Nyanya mbili 2:kitunguu Kimora 3:hoho/karoti [moja] 4 :mafuta 5:Chumvi Unaaviandaa viungo vyako kwa kuviosha na kuvika takata kama kawaida nyanya weka ๐Ÿ… tofauti kabisa then una ka๐™–๐™ฃ๐™œ๐™– ๐™ซ๐™ž๐™ฉ๐™ช๐™ฃ๐™œ๐™ช๐™ช ๐™ข๐™ฅ๐™–๐™ ๐™– ๐™ช๐™ฃ๐™–๐™–๐™ ๐™ž๐™ ๐™ž๐™จ๐™๐™– ๐™ซ๐™ž๐™ข๐™š ๐™ช๐™ฃ๐™™๐™– ๐™ง๐™–๐™ฃ๐™œ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™—๐™ง๐™ค๐™ฌ unaweka hoho na karoti visiive sana unaacha kidogo alafu una weka nyanya unakaangaa nyanya mpaka ziwe lain uku ukiongeza maji kidogo kidogo zikisha iva una weka katika makande yako uliokwisha andaa mapema utaacha kidogo yazidi ku chemka kama dakika 15 kisha una epua tayari kwa kulana imani makande ya chukuchuku umeyatamani yalivyo na test(ladha) kwa herii tukutanekwenye somo jingine asante mwandishi: director kessy ni follower istagram Welcome mapishiclub.Blogspot.Com
Similar Templates

0 Comments:

Welcome to comment