Mapishi ya vikokoto vitamu
MAPISHI YA VIKOKOTO VITAMU
NOTE: mapishi haya yaliyoandaliwa na director kessy sio kwa ajili ya vitafunio tu unaweza ukafunguwa biashara au ukasambaza madukani baada ya kutengeneza na ukajipatia kipato
. MAHITAJI YAKE
Unga – Vikombe 2
. .
Samli – 2 Vijiko vya chakula. .
Maziwa ¾ Kikombe. .
Iliki – Kiasi. .
Mafuta ya kukarangia Kiasi. .
MAHITAJI YA :SHIRASukari – 1 Kikombe
. .
Maji ¾ Kikombe. .
Vanila ½ Kijiko cha chaiJINSI YA KUPIKA
0 Comments: