Jinsi yakutengeneza lambalamba za maziwa bila mashine

Welcome mapishiclub.Blogspot.Com LAMBALAMBA ZA MAZIWA 🛑🛑 MAHITAJI..... 1.Sukari kiasi Chako 2.Rangi yoyote 3.Maziwa fresh nusu lita 4.Vanilla ya Maji au unga kifuniko 1 5.Vikopo vya lamba lamba 6.vijiti vya lamba lamba 7:Custard powder kikombe kimoja CHA robo 👉👉JINSI YA KUANDAA÷ANZA KUCHEMSHA MAZIWA YAKO KWA MOTO MDOGO TU WA KAWAIDA HAKIKISHA YASI SHIKE CHINI 🍧KISHA WEKA UNGA WA CUSTARD KOROGA HADI UWONE MAZIWA YAMEANZA KULETA UZITO YATOE JIKON 🍧KISHA YATIE MAZIWA YAKO KWENYE MAJI YA LITA 5 . 🍧BAADA YA HAPO CHANGANYA SUKARI HADI IWE TAMU KISHA WEKA RANGI YEYOTE RANGI WEKA KIDOGO SANA TIA VANILLA KISHA TAYARISHA VIKOPO.UKISHA MIMINA 🍧 MCHANGANYIKO WAKO KATIKA VIKOPO ANZA KUWEKA VIJITI (PIA UNAWEZA KUTUMIA MAZIWA YA UNGA VIJIKO 3-4 VYA CHAKULA KADRI UNAVYO HITAJI UZITO WA LAMBA LAMBA.

Post a Comment

0 Comments